Somo la saba

Lotsize zimegawanyika katika makundi matatu ambayo ni 

1. Standard lotsize

2. Medium Lotsize

3. Micro lotsize

1. STANDARD LOTSIZE 

100000/100000= 1
1.00 lotsize= 1 pip = $10 

Hivyo pip moja ikimove kwenye soko ina thamani ya $10 ukitumia 1.00 lotsize


2. MEDIUM LOTSIZE 

10000/100000= 0.1
0.10 lotsize = 1 pip = $1 

Hivyo pip moja ikimove kwenye somo ina thamani ya $1 ukitumia 0.10 lotsize


3. MICRO LOTSIZE 

1000/100000= 0.01
0.01 lotsize= 1 pip = 10cent

Hivyo pip moja ikimove kwenye soko ina thamani ya cent kumi 10cent za kimarekani ukitumia 0.01


Hivyo watu watatu ambao wamepata pips 20 kwenye soko. Kwa kutumia lotsize tofauti hupata hivi;

1. 1.00= 20pips x $10= $200
2. 0.10=20pips x $1 = $20
3. 0.01= 20pips x 10cent= 200cent au $2

Iwe ni faida au hasara

Ili uweze kutumia standard lotsize unashauriwa mtaji wako usiwe chini zaidi ya $10000

Ili uweze kutumia medium lotsize unashauriwa mtaji wako usiwe chini zaidi ya $1000

Na ili mitaji yote chini ya $1000 utatumia micro lotsize. Nitakuja kufafanua zaidi hili siku zijazo 🙏🏼

Comments